MWENEZI MAKONDA ATOA TAARIFA YA MREJESHO WA SEMINA YA MAFUNZO NA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makond akizungumza kwa kueleza yaliyojiri katika Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika mapema leo tarehe 15 Januari, 2024 Kisiwani Zanzibar kilochoendeshwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mwenezi Makonda ameeleza yaliyojiri katika Semina maalum ya Mafunzo kwa Wajumbe wa Halmshauri Kuu iliyofanyika siku ya tarehe 13 na 14 mwaka huu.
Katika Semina hiyo, Mwenezi Makonda amesema kuwa Wajumbe wamepata nafasi ya kushiriki kujua hatua zilizofikiwa katika Mradi wa Umeme wa Mwl. JK. Nyerere.
Pia, kujua hatua na kazi inayofanyika katika muendelezo wa Ujenzi wa Reli ya kisasa ya SGR.
Vilevile, kujua hatua na muendelezo wa utekelezaji wa Ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigongo - Busisi).
Pamoja na hayo, Wajumbe wamepata nafasi ya kujadili na kupokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2025 kwa upande wa Zanzibar.
Mwenezi Makonda amebainisha kuwa kupitia Kikao hicho, Wajumbe wampokea taarifa za maandalizi katika kuelekeza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 na Maandalizi ya Maadhimisho ya Sherehe za CCM kuelekea kufikisha miaka 47 mwezi februari mwaka huu.
Aidha, Mwenezi Makonda amesema Wajumbe wa Halmashauri Kuu kwa pamoja wamepokea jina kutoka kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa la atakayechukua kijiti cha nafasi ya Katibu Mkuu na kwa pamoja wameridhia kwa sauti moja ya kwamba Ndugu. Emmanuel John Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025