Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


 KATIBU MKUU WA CCM AWASILI MKOANI MWANZA KWA ZIARA YA SIKU MBILI 

alternative

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na wananchi wa jimbo la Buchosa wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza leo Agosti 14, 2024, wakati akiwa njiani kuendelea na ziara yake Mkoa wa Mwanza ambako atakua na ziara ya siku 2 Mkoa huo.

alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi