ANAYETAFUTA MADARAKA KWA MAFARAKANO HAFAI NDANI YA CCM - BALOZI DKT. NCHIMBI
"Mtu yeyote anayetafuta madaraka kwa mafarakano, kwa misingi ya ukabila, kwa misingi ya dini hawafai kuwa kiongozi wa serikali wala katika chama chetu cha mapinduzi, kila mtanzania anatakiwa kukumbuka kuwa viongozi sahihi wataisimamia serikali sahii"
"Chama kibovu kitazaa serikali mbovu, chama kisicho makini kitazaa serikali isiyo makini, chama imara kinaanza kujengwa katika mashina, tutambue kwamba hiyo ndio ngazi ya kwanza ya umuhimu wa pekee katika chama chetu na wao watambue wao ndio wa kwanza kuusimamia wajibu wa wananchama"
"Hii ndicho chama pekee kinachoongelea majukumu ya chama kwa wanachama wake na huwezi kuyatenganisha mafanikio ya serikali na CCM kwakuwa CCM madhubuti ndio yenye kuleta maendeleo kwa taifa hili."
Sambamba na hayo Katibu Mkuu amekumbusha nafasi ya mwanachama wa CCM, "Tunawakumbusha viongozi wetu kuwa CCM ni mali ya wanachama si mali ya mtu binafsi...maana unakuta kuna kiongozi mwingine haoni tabu kumwambia mwanachama wa kawaida kuwa mimi ndio mwenyekiti wa tawi nimefika hapa na hunifanyi lolote na nenda popote...ndani ya CCM hilo halikubaliki"
"Hakuna atakayeweza kuwa kiongozi wa CCM bila kuwa mwanachama, nafasi pekee ambayo mtu anaapishwa kwenye CCM ni Uanachama, hakina sehemu nyingine zaidi ya hapo ndio maana hamjawahi kusikia hata mwenyekiti wa CCM Taifa akiapishwa ndani ya Chama"
Hayo yamesmwa na Balozi Dkt. Nchimbi.
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi amewataka wana CCM kuwa na utaratibu wa kujikumbusha majukumu ya unachama wa kwa kusoma katiba ya CCM.
" Ibara ya 15 kifungu cha kwanza kinaeleza wajibu wa kila mwanachama, tuwe na utaratibu wa kujikumbusha kwa kusoma katiba ya chama chetu cha mapinduzi ."
WAJIBU MKUBWA WA CCM NI KUJENGA UMOJA Kauli ya Katibu Mkuu wa CCM.
"Hatutajenga CCM ikawa imara kama hatutakuwa na umoja miongoni mwetu, CCM ikikosa umoja itasambaratika na Nchi itasambaratika , Baba wa Taifa alisema na napenda kurudia hili ' Mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kuwa bila CCM madhubutu Nchi hii itayumba ' maneno haya yanaishi hadi leo.
"Wakati mwingine linaweza likatokea jambo dogo likatutawanisha, tujiepushe na mambo ya kututenganisha tusiruhusu kabisa mafarakano kati yetu"
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
ποΈ16 Aprili, 2024
πMbozi - Songwe
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025