CHADEMA MLIO JIANDIKISHA MUDA UKIFIKA CHAGUENI CCM
KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Amos Makalla ,amesema kwa kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hakitoshiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wanachama wa chama hicho waliojiandikisha wakipigie kura CCM.
Amesema wanachama hao wana uhuru wa kushiriki uchaguzi kwa sababu ni haki yao na walishajiandikisha, hivyo waelekeze kura zao CCM kwakuwa walikuwa tayari kushiriki uchaguzi huo.
Makalla ameeleza hayo leo Aprili 12,2025, wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, katika mkutano wa hadhara ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku 10 katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Makalla amesema kuwa kama ilivyoelezwa kuwa leo ilikuwa mwisho wa vyama vya siasa kusaini makubaliano ya kanuni za uchaguzi na vyama vyote vya siasa vimesaini, hivyo vitashiriki uchaguzi huo.
Makalla amesema kwa bahati mbaya imethibitika kuwa CHADEMA hawakuweza kusaini makubaliano hayo, hivyo ni wazi kuwa hawatoshiriki uchaguzi huo.
Amesema kwakuwa wanachama wao walikuwa tayari kushiriki na walijiandikisha ,hivyo wapigie kura CCM .
“Imethibitika tutakuwa na vyama vingine ,lakini hao waliokuwa juzi hapa hawayokuwapo tena na mimi nitoe rai kwa wanachama wa chama hicho kwa sababu hakitashiriki uchaguzi.
“Basi wana uhuru wa kupiga kura na kwa sababu walijiandikisha, niwaombe kura zao zote wazielekeze CCM pale zitakapofika kampeni tukiruhusiwa tutaendelea kuziomba hizo kura wazielekeze kwenye chama chetu,” amesema.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025