πππ ππππππππππ ππππππππππ ππππππππ ππ ππππππππππ πππ πππππππ ππππππ πππππ πππ ππππ
πππ - πππ. πππππ
π΄πππππ 194 ππππππππππππ ππ ππππππππππ ππππππ πππππ ππ πΎπππππ ππππ ππ 88.7%
"Tumerahisha shughuli za kiutendaji kwa chama na jumuiya zake kwa kununua vyombo vipya vya usafiri katika ngazi za Taifa, Mikoa, Wilaya, Jimbo na Kata na hata kwenye mashina"
"Tayari tumenunua magari 194 yaliyosambazwa kwenye ofisi 149 za Wilaya kati ya ofisi 168 sawa na asilimia 88.7"
"Tumetoa magari 32 kwa ofisi za CCM katika mikoa yote , vilevile tumetoa magari 9 yani 3 kwa kila jumuiya za CCM yaani Wazazi, UWT na UVCCM"
"Ni shabaha yetu kuhakikisha wilaya 19 zilizobaki zinapata magari mapya kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025"
"Ngazi za kata , CCM tumegawa pikipiki 4 kwa kila ofisi nchi nzima hadi kufikia mwezi Novemba 2024 tulikamilisha zoezi hili kwa asilimia 100 nchi nzima"
"Tumefanya maamuzi haya tukitambua msingi wa chama chetu ni watu ambao wapo katika ngazi za chini ambao ni lazima tuwafikie"
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
26-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
26-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
26-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
26-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
26-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
26-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
26-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
26-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
26-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
26-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
26-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
26-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
26-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
26-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
26-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
26-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
26-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
26-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
26-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
26-03-2026