πππ ππππππππππ ππππππππππ ππππππππ ππ ππππππππππ πππ πππππππ ππππππ πππππ πππ ππππ
πππ - πππ. πππππ
π΄πππππ 194 ππππππππππππ ππ ππππππππππ ππππππ πππππ ππ πΎπππππ ππππ ππ 88.7%
"Tumerahisha shughuli za kiutendaji kwa chama na jumuiya zake kwa kununua vyombo vipya vya usafiri katika ngazi za Taifa, Mikoa, Wilaya, Jimbo na Kata na hata kwenye mashina"
"Tayari tumenunua magari 194 yaliyosambazwa kwenye ofisi 149 za Wilaya kati ya ofisi 168 sawa na asilimia 88.7"
"Tumetoa magari 32 kwa ofisi za CCM katika mikoa yote , vilevile tumetoa magari 9 yani 3 kwa kila jumuiya za CCM yaani Wazazi, UWT na UVCCM"
"Ni shabaha yetu kuhakikisha wilaya 19 zilizobaki zinapata magari mapya kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025"
"Ngazi za kata , CCM tumegawa pikipiki 4 kwa kila ofisi nchi nzima hadi kufikia mwezi Novemba 2024 tulikamilisha zoezi hili kwa asilimia 100 nchi nzima"
"Tumefanya maamuzi haya tukitambua msingi wa chama chetu ni watu ambao wapo katika ngazi za chini ambao ni lazima tuwafikie"
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025