Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa kwa kiwango cha lami

alternative

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa kwa kiwango cha lami. Hafla ya ufunguzi wa barabara hiyo imefanyika katika eneo la Matai Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa tarehe 16 Julai, 2024.

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi