Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi Kuifungua kiuchumi Pemba
Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dr.Hussein Ali Mwinyi amesema serikali ina mpango wa kuifungua kiuchumi kisiwa cha pemba kupitia maeneo manne ya ujenzi ya miundombinu ikiwemo ujenzi wa kiwanja cha ndege cha kisiwa hicho
Kauli hiyo ameitoa juzi tarehe 17 July wakati akizungumza na mabalozi, wajumbe wa halmashauri kuu za majimbo,wilaya na mkoa wa kusini Pemba katika ukumbi wa Umoja ni nguvu uliopo mkoani. Raisi Dk.Mwinyi aliyataka maeneo mengine ambayo yataichochea kuifungua Pemba kiuchumi ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara, bandari na maeneo huru ya uwekezaji. Katika maelezo yake Raisi Dk.Mwinyi ambae ni Makamu Mwenyekiti wa ccm Zanzibar alisema serikali ina azma ya kuifungua Pemba kiuchumi kwa miradi maalum, '' Ukitaka kuifungua nchi ni miundombinu na hapa Pemba tunajenga kiwanja cha ndege chenye urefu wa kilomita 2.5, sinashaka ndege kubwa zitakuwa zinakuja hapa moja kwa moja kutoka nje, hivyo kitakuwa kiwanja cha kimataifa'' alisema.
Alisema serikali ikimaliza ujenzi wa kiwanja cha ndege kisiwani Pemba pia itajenga jengo jipya na kubwa la abiria katika kiwanja hicho, Rais Dk.Mwinyi alisema kwa upande wa miundombinu ya barabara kuu serikali inaendelea na mpango wake wa ujenzi wa barabara ya chakechake, wete na mkoani na barabara za ndani '' Barabara zote hizo zipo katika mpongo wa utekelezaji na sina ya shaka kuwa barabara hizi zitakuwa nyingi na bora zaid'' Alisema. Alisema eneo jengine ni ujenzi wa bandari ambapo serikali inatarajia kuanza na bandari ya mkoani na kufuatia na bandari ya wete ''lakini sasa hivi upembuzi yakinifu unafanyika bandari ya wete na ujenzi wa bandari hizi itasaidia kushuka kwa gharama za bidhaa kisiwani hapa kutokana na kuwa bidhaa hazitoki moja kwa moja , hivyo hivi sasa bidhaa zitatoka moja wa moja kutoka nje ya nje'' Alisema, Alisema gharama za bidhaa zinapanda kutokana na gharama za usafirishaji wa bidhaa hizo ambazo mara nyingi hutoka Unguja, Mombasa na Dar-es-salam ndipo zifikie kisiwani Pemba.
Rais Dk.Mwinyi alisema baada ya bandari hizo kujengwa itawezesha meli kubwa kutoka nje ya nchi kuja kuleta bidhaa hizo kisiwani Pemba, alisema eneo la mwisho la kuifungua Pemba kiuchumi ni kutengeneza maeneo huru ya uwekezaji ambapo tayari serikali imekwisha anzisha eneo hilo micheweni ''Hivi karibuni serikali itatengeneza barabara yenye kiwango cha lami katika eneo hilo ili sasa tuwe tayari kuwakaribisha wawekezaji kuja kuwekeza viwanda kisiwani Pemba'' alisema. Alisema baada ya hatua hiyo pemba itabadilika na kuwa eneo la utalii na viwanda
Kwa upande wa naibu katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk.Mohammed Said Mohammed (Dimwa) alisema utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ndio inayowavuta wapizani kujiunga na chama ''Kinachowautia pia ni utendaji wako muheshimiwa makamo mwenye kiti uliyotukuka ambao kwa kiasi kikubwa umeleta maendeleo kwa wazanzibari'' alisema. Alisema mbali na wapinzani hao wawili waliojitokeza kujiunga na ccm bado kuna kundi kubwa la wapinzani wanataka kujiunga na chama kutokana na maendeleo aliyoyafanya Dk.Mwinyi kwa kipindi kifupi.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya uwana chama na raisi Nasour Seif mwanachama wa ICT Wazalendo ambae alikuwa miongoni mwa wanzilishi wa chama cha CUF alisema ameamua kujiunga na CCM kutokana na maendeleo yanayofanywa, pia alisema mpka sasa zanzibar imekuwa na miundombinu mengi yenye kuleta tija katika ukuwaji wa kiuchumi '' Ukiangalia bajeti ya zanzibar imeongezeka kutoka Sh.trilioni moja hadi kufikia trilioni mbili ikiwa ni ongezeko la asilimia 16 ambaapo zaid ya asilimia 83 ya bajeti hiyo ni kwa ajili ya maendeleo ya Zanzibar'' alisema. Alisema hakuna chama cha siasa cha kweli chenye kuleta maendeleo kwa wanachi kama ccm na kwamba vyama vyengine vipo kimaslahi. ''Naomba wamaccm mtupokee na mtupe mashirikiano kwa ajili kukiendeleza chama chetu'' alisema.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
05-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
05-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
05-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
05-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
05-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
05-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
05-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
05-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
05-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
05-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
05-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
05-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
05-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
05-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
05-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
05-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
05-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
05-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
05-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
05-11-2025