Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuweka mikakati na kuwaunga mkono wafanya biashara wadogo wadogo na wajasiriamali ili kuweza kufikia malengo waliojiwekea ya kujipatia kipato cha mtu mmoja mmoja na kukuza uchumi wa nchi.
Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla wakati alipokuwa akizungumza na wajasiriamali, wafanya biashara wadogo wadogo na Taasisi za Kiseriakli zilizo chini ya Wizara ya Biashara na viwanda Zanzibar katika Viwanja vya Baraza la wawakili Chukwani nje kidogo wa mji wa Zanzibar.
Amesema kuwa kumekuwepo ushirikiano mkubwa baina ya wafanya biashara wadogo wadogo na taasisi za kiserikali zilizo chini ya Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar jambo ambalo linaendana na azma ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la kuwarahisishia wafanyabiashara kufanya biashara zao kwa kuzingatia viwango na hali za kimaisha kwa watumiaji.
Mhe Hemed amesema dhamira ya Serikali kwa wafanya biashara ni kuhakikisha biashara zote zinazozalishwa na wafanya biashara wa ndani zinapata soko la uhakika la kuwawezesha kuuza biashara zao kwa urahisi pamoja na kukua kwa pato la taifa.
Mhe. Hemed amewataka wafanya biashara kuendelea kuzitumia fursa za kibiashara zilizopo nchini kwa kuwawezesha vijana kuweza kupata ajira sambamba na kufanya biashara zenye viwango vya hali ya juu ili waweze kuuza ndani na nje ya nchi.
Amesema Serikali ipo tayari kukaa na wafanyabiashara kutatua changamoto zilizopo ili kurahisisha ufanyaji wa biashara na Serikali iweza kupata kodi jambo ambalo litaipelekea Serikali kufikia malengo iliyojiwekea ya kuwaletea wananchi maendeleo kupitia kodi wanazozitoa.
Kwa upande wake Waziri Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. OMAR SAID SHAABAN amesema Wizara imejipanga kuhakikisha inawaunga mkono wafanya biashara wote wakiwemo wajasiliamali kwa kuwawezesha kupata soko kwa urahisi za biashara zao wanazozalisha.
Mhe. OMAR amesema kupitia ziara ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoifanya hivi karibuni nchini Korea Serikali kupitia Wizara ya Biashara itafaidiaka na ujenzi wa mradi wa kituo cha Kimataifa cha Biashara kinachotarajiwa kujengwa Nyamanzi wilaya ya Magharibi “B” unguja.
Nae Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya ZASCO Dkt. MASOUD RASHID MOHAMMED amewataka wakulima wa mwani kuhakikisha wanalima mwani wenye viwango na kuhakikisha wanaukausha vizuri ili kuendana na soko la Kimataifa.
Mapema Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Hemed Suleiman Abdulla ametembelea mabanda ya wafanya biashara, wajasiriamali pamoja na Taasisi za kiserikali zilizopo chini ya Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar kwa lengo la kujionea kazi na biashara zinazofanywa na wafanya biashara hao.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
07-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
07-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
07-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
07-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
07-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
07-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
07-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
07-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
07-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
07-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
07-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
07-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
07-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
07-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
07-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
07-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
07-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
07-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
07-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
07-11-2025