Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


Mkutano Mkuu wa Jimbo la Hai

alternative

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Abdulrahman Kinana awasili Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya Kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Jimbo la Hai.

Mkutano Huo Umeandaliwa na Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Sashisha E. Mafue

#KaziIendelee

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi