Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


ILALA IMECHACHAMAAA, MWENEZI MAKALLA AANZA NA UKAGUZI WA JENGO LA SHULE YA GHOROFA MNAZI MMOJA NA UKAGUZI WA BARABARA 20 ZA MITAA ILALA

alternative

Katibu wa NEC Itikadi,Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla amekagua Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kisasa na ya Ghorofa ya Mnazi Mmoja iliyopo Jimbo la Ilala Jengo jipya linalojengwa Lina Madarasa 20 yenye thamani ya Bilioni 1.8 pamoja na Ukaguzi wa Barabara 20 za Mitaa ya Ilala zilizo gharimu Bilioni 30 kandarasi zote zipo hatua ya Umaliziaji

CPA Makalla amesema Mkoa wa Dar es salam unajengwa Majengo ya Kisasa ya Ghorofa likiwemo la shule ya Mnazi mmoja, nyingi za Mkoa wa Dar es salam huku barabara zinaendelea kujengwa hivyo tuna kila sababu ya kumpongeza Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa mikakati ya kuibadilisha Dar es salam na kulifanya Jiji la Kisasa.

🗓09 Julai 2024

Siku ya Nne Ziara ya Mlezi Mkoa wa Dar es salam

alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi