WATANZANIA WANA IMANI KUBWA NA CCM, NI WAJIBU WA KILA KIONGOZI KUSHUGHULIKA NA KUTATUA KERO ZAO - KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI
"CCM ni Chama cha kupigania haki ya wanyonge na lazima tuendeleze hilo katika kila ngazi kuanzia shina hadi taifa, wananchi wana imani kubwa na CCM hivyo ni wajibu wa kila kiongozi lazima tushughulikie kero na matatizo ya wananchi wetu."
"Katika miaka 3 serikali ya CCM chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imefanya mambo makubwa sana, msione haya kuyatangaza na kuyasemea, siasa ni lazima useme ulichofanya bila kusema hata aliyeshudia ukifanya atafanya kama hajaona, wengine watasema bana si wajibu wenu kufanya yani atachukulia kirahisi na bila kujali, lazima tuisemee vema serikali yetu inayowajali wananchi wake kwakuwa ni serikali inayojitambua"
"Tokeni vifua mbele kutetea serikali yenu"
"Mnaposimamia utekelezaji wa ilani msitafute maslahi binafsi, acheni kuwafata viongozi wa serikali kuomba hela kwa kuwatisha na kuweka uongo ndani yake, tunajua wapo viongozi wa CCM wa namna hiyo sasa hiyo si haki bali ni ukandamizaji na wizi, tutumie wajibu wetu wa haki kama wana CCM"
"Kero ya umeme tunakwenda kuitatua kwa kasi hapa Katavi, tumemsikia Mwenezi amelieleza vema hilo"
ποΈ 13 Aprili, 2024
πMpanda - Katavi
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
25-12-2025
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
25-12-2025
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
25-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
25-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
25-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
25-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
25-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
25-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
25-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
25-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
25-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
25-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
25-12-2025