WATANZANIA WANA IMANI KUBWA NA CCM, NI WAJIBU WA KILA KIONGOZI KUSHUGHULIKA NA KUTATUA KERO ZAO - KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI
"CCM ni Chama cha kupigania haki ya wanyonge na lazima tuendeleze hilo katika kila ngazi kuanzia shina hadi taifa, wananchi wana imani kubwa na CCM hivyo ni wajibu wa kila kiongozi lazima tushughulikie kero na matatizo ya wananchi wetu."
"Katika miaka 3 serikali ya CCM chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imefanya mambo makubwa sana, msione haya kuyatangaza na kuyasemea, siasa ni lazima useme ulichofanya bila kusema hata aliyeshudia ukifanya atafanya kama hajaona, wengine watasema bana si wajibu wenu kufanya yani atachukulia kirahisi na bila kujali, lazima tuisemee vema serikali yetu inayowajali wananchi wake kwakuwa ni serikali inayojitambua"
"Tokeni vifua mbele kutetea serikali yenu"
"Mnaposimamia utekelezaji wa ilani msitafute maslahi binafsi, acheni kuwafata viongozi wa serikali kuomba hela kwa kuwatisha na kuweka uongo ndani yake, tunajua wapo viongozi wa CCM wa namna hiyo sasa hiyo si haki bali ni ukandamizaji na wizi, tutumie wajibu wetu wa haki kama wana CCM"
"Kero ya umeme tunakwenda kuitatua kwa kasi hapa Katavi, tumemsikia Mwenezi amelieleza vema hilo"
ποΈ 13 Aprili, 2024
πMpanda - Katavi
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
26-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
26-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
26-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
26-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
26-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
26-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
26-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
26-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
26-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
26-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
26-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
26-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
26-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
26-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
26-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
26-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
26-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
26-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
26-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
26-03-2026