Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


 Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Utafiti cha Mambo ya Jamii,Uchumi na Sera. Ndg.Juma Hassan Reli (kushoto kwa Rais) akiwa na ujumbe wake mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-7-2024 na (kulia kwa Rais) Bi. Rukiya Wadoud.(Picha na Ikulu)

alternative

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Kituo cha Utafiti cha Mambo ya Jamii,Uchumi na Sera, ukingozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Ndg,Juma Hassan Reli (kushoto kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-7-2024.(Picha na Ikulu)

 

alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi