Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


ZIARA YA MLEZI WA MKOA WA KILIMANJARO

alternative

Katibu wa NEC Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb), akikabidhiwa zawadi na viongozi wa CCM Wilaya ya Siha fimbo ya jadi ya Mamlaka ya Ungozi na vazi la jadi la kumfanya  mwenyeji  wa Wilaya ya Siha, wakati wa ziara yake ya kujitambulisha kama Mlezi wa Mkoa wa Kilimanjaro leo tarehe 09 Oktoba 2023

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi