Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


RAIS SAMIA SULUHU HASSAN NA RAIS XI JINGPING WAPONGEZWA CHINI 

alternative

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM  Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa idara ya mambo ya nje ndugu Liu Jianchao ambaye amesema  kuwa CPC na Serikali yake wanatambua  juhudi kubwa za kuleta maendeleo  zinazofanywa  na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. 

katika ,mazungumzo hayo yaliyofanyika beijing China , Agosti 26,2024 Balozi Nchimbi pamoja na kufikisha salamu za Mwenyekiti  amesema kuwa Tanzania kwa ujumla wanaichukulia China kama mfano wa kuigwa , chini ya uongozi wa Rais Xi Jinping CPC imeweza kuiongoza China kupiga hatua  za maendeleo makubwa  kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. 

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi