MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DK. HUSSEIN ALI MWINYI AMEKUTANA NA SEKRETARIETI ZA MIKOA NA WILAYA
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na sekretarieti ya kamati maalum, sekretarieti za Mikoa na Wilaya CCM Zanzibar katika kikao chake cha kwanza na watendaji hao ukumbi wa Afisi kuu CCM Kisiwandui tarehe: 5 Februari 2024.
Aidha, Makamu Mwenyekiti CCM Dk.Mwinyi amesema kazi kuu ya Chama cha siasa ni kushinda chaguzi za dola.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Mwinyi amempongeza Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia vema Chama cha Mapinduzi na kukiimarisha.
Kwa upande mwingine Makamu Mwenyekiti Dk.Mwinyi amewapongeza watendaji kwa kazi kubwa wanayoifanya katika kuimarisha chama na kutekeleza majukumu yao ya kila siku.
Halikadhalika Makamu Mwenyekiti Dk.Mwinyi amewataka watendaji kutoa fursa sawa kwa wagombea wote na kujiepusha kutengeneza makundi wakati wa uchaguzi.
Vilevile amewasisitiza watendaji hao wana wajibu wa kusimamia kanuni za chama kuhakikisha umoja , amani na utulivu una kuwepo ndani ya chama.
Makamu Mwenyekiti Dk.Mwinyi amewataka wana CCM wote kuwa mstari wa mbele kuelezea vema mafanikio ya ilani ya utekelezaji wa CCM kwa kazi nzuri iliyofanyika kwa kugusa sekta nyingi za utekelezaji pamoja na kuvuka lengo ikiwemo sekta elimu, afya , barabara, maji, uwezeshaji wa vikundi vya wajasiriamali n.k
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025