Naibu Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais Muungano na Mazingira na Mbunge wa Jimbo la Uzini Khamis Hamza Chilo amesema elimu kubwa inahitajika kwa Wananchi kuacha matumizi ya Mkaa na Kuni kwa matumizi ya kupikia hali itakayopelelekea utunzaji wa Mazingira
Kauli hiyo ameitoa huko Machui wakati akizungumza na wananchi wa shehia ya machui mara baada ya kukamilika utafiti uliofanywa taasisi isiyo ya serekali ya up skills foundation kutoka Tanzania Bara unaohusisha matumizi ya nishati ya kupikia na ufahamu wa wananchi juu ya dhana ya uchumi wa buluuu.
Amesema wananchi wengi hawana uelewa wa matumizi sahihi ya nishati ya kupikia na dhana ya uchumi wa buluu kwa kuacha matumizi ya kuni na mkaa ambayo hupelekea uchafuzi wa Mazingira na kusababisha maradhi kwa wananchi.
Aidha ameeleza matumizi ya nishati ya gesi kwa kupikia majumbani itasadia kwa kiwango kikubwa utunzaji wa Mazingira kwa nchi kavu na bahari.
Nae Mwakilishi wa Jimbo la hilo Haji Shaaban Waziri amesema kufanyika kwa utafiti huo katika kijiji cha Machui itasaidia kwa Serekali kufahamu matumizi ya nishati ya kupikia kwa wananchi wanaoishi vijijini pamoja na dhana ya uchumi wa buluu.
Aidha ameeleza Serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuondosha matumizi ya kuni na mkaa na badala yake wananchi watumie nishati ya gesi kwa matumizi ya kupikia .
Amesema matumizi ya nishati ya gesi ya kupikia ni salama na huepusha maradhi yanayosababishwa na matumizi ya kuni na mkaa ikiwemo kifua kikuu na homa ya mapafu.
Nae katibu wa app skills foundation Tinnah Didas Masaburi amesema utafiti huo wanaoufanya unalenga kujua ufahamu wa jamii kuhusu dhana ya uchumi wa buluu na matumizi ya nishati ya kupikia.
Pia utafiti huo utaonesha ni kwa namna gani jamii inatambua njia ya utunzaji wa Mazingira na kutoa Elimu ya matumizi sahihi ya nishati isiyo na madhara kwa binaadamu.
Nao wananchi wa Shehia ya Machui wameushukuru uongozi wa Jimbo la Uzini kwa kuiteua Shehia yao kuwa sehemu ya utafiti huo ambao umewasaidia kufahamu njia sahihi ya utunzaji wa Mazingira na dhana nzima ya Uchumi wa buluu.
Utafiti huo umefanyika katika Shehia ua Machui kwa Mkoa wa Kusini Unguja, Shehia ya Matemwe Kigomani, Shehia ya Mkokotoni kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja na Shehia ya Mndo kwa Mkoa wa Mjini Magharibi.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
08-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
08-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
08-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
08-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
08-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
08-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
08-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
08-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
08-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
08-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
08-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
08-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
08-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
08-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
08-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
08-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
08-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
08-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
08-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
08-12-2025