ZIARA YA NDUGU RABIA ABDULLA HAMID MOHAMMED MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM NCHINI CUBA
Ndugu Rabia Mohammed Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa HKT - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa amekuwa na ziara ya siku 4 nchini Cuba ambapo pamoja na mambo mengine amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Chama cha Kikomunisti cha Cuba (PCC) na Serikali.
Awali Ndg. Rabia alikutana na kufanya mazungumzo na Ndg. Emilio Ratmir Lozada Garcia Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Kimataifa wa PCC. Ndugu Rabia Mohammed amekutana na kufanya mazungumzo na Komredi Dkt. Roberto Morales Ojeda Mjumbe wa Kamati Kuu (Politiburo), Katibu Mkuu wa Pili na Katibu wa Oganaizesheni wa Chama cha PCC. Wakati uo huo Ndg. Rabia amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Elio E. Rodríguez Perdomo, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba.
Viongozi wengine ambao amekutana nao na kufanya nao mazungumzo ni pamoja na Makatibu Wakuu wa Jumuia za Wanawake na Vijana wa Chama cha PCC na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Chama cha Kikomunisti cha Cuba (PCC).
Mazungumzo ya Ndg. Rabia Mohammed yamejikita katika kujenga na kuimarisha mahusiano kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Kikomunisti cha Cuba (PCC), kujenga na kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Cuba na kubadilishana uzoefu katika maeneo kadhaa kwa Maslahi ya Nchi na Mataifa yetu mawili.
Katika ziara hiyo Ndg. Rabia ameambatana na Mhe. Humphrey H. Polepole, Balozi na Mkuu wa Kituo cha Uwakilishi Havana na Maafisa Ubalozi.
Imetolewa na,
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania πΉπΏ - Havana
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
05-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
05-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
05-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
05-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
05-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
05-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
05-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
05-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
05-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
05-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
05-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
05-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
05-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
05-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
05-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
05-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
05-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
05-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
05-01-2026
TAARIFA KWA UMMA
05-01-2026