ZIARA YA NDUGU RABIA ABDULLA HAMID MOHAMMED MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM NCHINI CUBA
Ndugu Rabia Mohammed Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa HKT - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa amekuwa na ziara ya siku 4 nchini Cuba ambapo pamoja na mambo mengine amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Chama cha Kikomunisti cha Cuba (PCC) na Serikali.
Awali Ndg. Rabia alikutana na kufanya mazungumzo na Ndg. Emilio Ratmir Lozada Garcia Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Kimataifa wa PCC. Ndugu Rabia Mohammed amekutana na kufanya mazungumzo na Komredi Dkt. Roberto Morales Ojeda Mjumbe wa Kamati Kuu (Politiburo), Katibu Mkuu wa Pili na Katibu wa Oganaizesheni wa Chama cha PCC. Wakati uo huo Ndg. Rabia amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Elio E. Rodríguez Perdomo, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba.
Viongozi wengine ambao amekutana nao na kufanya nao mazungumzo ni pamoja na Makatibu Wakuu wa Jumuia za Wanawake na Vijana wa Chama cha PCC na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Chama cha Kikomunisti cha Cuba (PCC).
Mazungumzo ya Ndg. Rabia Mohammed yamejikita katika kujenga na kuimarisha mahusiano kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Kikomunisti cha Cuba (PCC), kujenga na kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Cuba na kubadilishana uzoefu katika maeneo kadhaa kwa Maslahi ya Nchi na Mataifa yetu mawili.
Katika ziara hiyo Ndg. Rabia ameambatana na Mhe. Humphrey H. Polepole, Balozi na Mkuu wa Kituo cha Uwakilishi Havana na Maafisa Ubalozi.
Imetolewa na,
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania πΉπΏ - Havana
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
05-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
05-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
05-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
05-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
05-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
05-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
05-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
05-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
05-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
05-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
05-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
05-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
05-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
05-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
05-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
05-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
05-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
05-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
05-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
05-11-2025