Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


NCHIMBI AUNGURUMA  UWANJA WA FURAHISHA -MWANZA 

alternative

Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi katika uwanja wa  Furahisha Mkoani Mwanza ambapo amezungumza  na Wanachama wa  chama hicho  na Wananchi wa Mkoa wa Mwanza leo tarehe 15 Agosti 2024.
  Katika mkutano huo katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla aliongoza wanachama wa CCM katika zoezi alilo lianzisha lakuweza kumchangia Mheshimiwa Tindu Lissu wa Chadema mchango wakufanya matengenezo ya Gari lake.

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi