Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KATIBU MWENEZI WA CCM AWASILI MKOANI ARUSHA KUANZA  ZIARA YA SIKU SITA 

alternative

Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla akizungumza na Mwenyekiti CCM Mkoa Arusha Loi Thomas Ole Sabaya(katikati) na Katibu wa CCM Mkoa Arusha Mussa Dadi Matoroka mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kuanza ziara yake ya siku sita katika Mikoa ya Arusha na Manyara

alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi