Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


RAIS SAMIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA MSUMBIJI MHE. FILIPE JACINTO NYUSI.

alternative

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rasmi na Mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024.

Aidha, Rais Samia akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam kuhusiana na Ziara ya Kiserikali ya Mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wameshuhudia utiaji saini Hati ya Makubaliano ya kushirikiana katika masuala mbalimbali baina ya Tanzania na Msumbiji ikiwemo Afya na Uwekezaji.

alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi