MAKALLA: DKT SAMIA AMEINUA ZAO LA KAHAWA MKOA WA KAGERA
BUKOBA: KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi an Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, CPA Amos Makalla amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa mkombozi kwa kuinua zao la Kahawa mkoani Kagera.
Makalla ameeleza hayo leo Mei 18,2025 akizungumza na wananchi katika Wilaya ya Bukoba Mjini mkoani Kagera akiwa katika ziara yake ya kikazi ya siku saba katika mikoa ya Kanda ya ziwa.
Makalla ameeleza kuwa wananchi ni mashahidi namna watu walivyokuwa wakihangaika na uuzaji wa zao hili katika mkoa huo na kwa busara za Rais Samia akasaidia kuinua kwa kuongeza bei ya zao hilo kutoka elfu hadi 6,500.
“Nyie mnajua historia ya kahawa katika mkoa huu watu wamehangaika, magendo ya Kahawa kwenda Uganda manakumbuka msako ulivyokuwa watu wanahangaikia kuuza kahawa amekuja rais, mama yetu kwa busara zake na uzalendo wake ametutoa kwenye bei ya 1000 mpama 6000 hadi 6,500,” amesema Makalla.
Makalla amewataka wananchi kuacha kuhadaika na maneno ya uongo yanayopelekwa na watu kwa lengo la kufanya uchochezi kwa kusema serikali haijafanya kitu chochote, huku wakiwa hawajua undani wa jambo hilo.
Ameongeza sio kahawa tu bali ni katika zao la Kokoa, Ufuta, mbaazi ambayo yameongezeka thamani ya mauzo yake kwa kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
07-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
07-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
07-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
07-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
07-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
07-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
07-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
07-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
07-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
07-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
07-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
07-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
07-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
07-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
07-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
07-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
07-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
07-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
07-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
07-12-2025