Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI MISA, SHEREHE KUWEKWA WAKFU ASKOFU MSAIDIZI KIBOZI

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, Mei 12, 2024, ameshiriki misa takatifu na sherehe ya kuwekwa wakfu Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Katoliki Dodoma, Padri Wilbroad Henry Kibozi, iliyofanyika katika Kituo cha Hija cha Kanisa Katoliki, Miyunji, Mbwanga, jijini Dodoma.

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi