Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


RAIS SAMIA AHUDHURIA HAFLA YA UAPISHO WA RAIS WA AFRIKA YA KUSINI MHE. CYRIL RAMAPHOSA.

alternative

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa , Ndugu. Samia Suluhu Hassan ahudhuria hafla ya Uapisho wa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa katika Viwanja vya Jengo la Umoja, Pretoria nchini humo leo tarehe 19 Juni 2024.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi