Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


BALOZI DKT. NCHIMBI AHIMIZA UMOJA, AWATAKA WATANZANIA KUTOKUBALI KUGAWANYWA.

 

alternative

"Mafanikio tuliyopata tangu uhuru , tangu Muungano wa Nchi zetu ni kwasababu ya umoja wetu"

"Tusikubali kuacha umoja wetu nawaombeni sana , kama kuna jambo mkienda nyumbani leo na mtu akakuuliza Katibu Mkuu amesema nini umwambie amesema tusikubali kuacha umoja wetu, tusikubali kugawanywa , tusikubali kufarakanishwa"

"...Tanzania lazima iendelee kuwa Nchi moja yenye mshikamano, yenye upendo ambayo haibagui watu wake kwa misingi ya ukabila, wala dini wala vyama vya siasa"

"Wote ni Watanzania, Nchi ni yetu sote tuishi kwa kushirikiana na tupendane...CCM OYEEE! "


Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM Taifa

Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida ikiwa ni mwanzo wa ziara yake ya kutembelea mikoa 5.

🗓️29 Mei, 2024
📍Manyoni - Singida

#VitendoVinaSauti
#TunaendeleaNaMama
#KaziIendelee

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi