Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


NDG. RABIA (MCC) AKUTANA NA BALOZI CP SUZAN KAGANDA - ZIMBABWE

alternative

 

Katibu wa NEC - Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid, akiwa Zimbabwe, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini humo Mhe. CP Suzan Kaganda katika Ofisi za Ubalozi huo.


#KidumuChamaChaMapinduzi
#KidumuChamaChaZANU-PF

alternative
Habari Nyingine