Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Chama Cha Mapinduzi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilianza rasmi Februari 5, 1977 kutokana na kuunganishwa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) kilichokuwa chama tawala Tanzania Bara, kikiongozwa na Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Chama cha Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa chama tawala Zanzibar kikiongozwa na Rais wa kwanza wa Zanzibar Sheikh Amaan Abeid Karume.
Kilianzishwa CCM ipo, Tangu 05 Feb,1977

Taarifa Kwa Umma

Malipo ya Ada kwa Mitandao
Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Taifa

Nukuu za Viongozi