CCM - Chama Cha Mapinduzi
Muda Wa Kazi: 24/7

Habari na Matukio Mbalimbali


CHONGOLO AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA GUNYODA - MBULU

alternative

Sekretarieti ya CCM Taifa ikiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo wanaendelea na ziara ya kukagua na kutekeleza Ilani ya CCM Mkoa wa Manyara leo tarehe 06 Machi 2023  Sekretarieti wametembelea na kukagua ujenzi wa Daraja la Gunyoda linalounganisha vijiji vya Mang’ola Mbulu na Gunyoda Pamoja na ukaguzi wa daraja la Gunyoda katibu Mkuu wa CCM amezungumza na wananchi wa wa Gunyoda na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi.

alternative alternative alternative

Maoni & Mawasiliano

Unaweza kuwasiliana na CCM, kwa kutumia anuani hapo chini kwa Maswali yoyote na Maoni.
Chama Cha Mapinduzi, Kuu Street, P.O.Box 50, Dodoma-TZ.
Barua Pepe
Muda Wa Kazi
24/7
Anuani
P.O.Box 50