CCM - Chama Cha Mapinduzi
Muda Wa Kazi: 24/7

Habari na Matukio Mbalimbali


MAADHIMISHO YA MIAKA MIWILI YA KISHINDO YA RAIS DKT. SAMIA SAULUHU HASSAN.

alternative

Maadhimisho ya Miaka Miwili (2) ya kishindo ya Dkt Samia Suluhu Hassan, ambapo Chama Cha Mapinduzi Kitaifa yanafanyika Mkoa wa Mbeya.
Mgeni Rasmi ni Ndg Mohamed Said Mohamed (DIMWA), Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.

Pamoja na shughuli nyingine Mgeni Rasmi alipata fursa ya kutembelea jengo jipya la hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya iliyojengwa na Serikali ya awamu ya sita chini Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
March 18,2023. Uwanja wa Ruanda Nzovwe Mkoani Mbeya.

alternative alternative alternative alternative

Maoni & Mawasiliano

Unaweza kuwasiliana na CCM, kwa kutumia anuani hapo chini kwa Maswali yoyote na Maoni.
Chama Cha Mapinduzi, Kuu Street, P.O.Box 50, Dodoma-TZ.
Barua Pepe
Muda Wa Kazi
24/7
Anuani
P.O.Box 50