CCM - Chama Cha Mapinduzi
Muda Wa Kazi: 24/7

Habari na Matukio Mbalimbali


MAPOKEZI YA VIONGOZI VIJANA KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE – KIBAHA

alternative

Mwenyekiti Wa Umoja Wa Vijana Wa CCM Taifa Ndugu Mohammed Kawaida Pamoja Na Mkuu Wa Shule Prof. Marcellina Mvula Chijoriga Wameshiriki Mapokezi Wa Viongozi Vijana Kutoka CCM Waliofika Shule Ya Uongozi Ya Mwalimu Julius Nyerere Kwaajili Ya Kushiriki Mafunzo Ya Uongozi Kwa Vijana Kutoka Vyama Sita Rafiki Kusini Mwa Afrika, Mafunzo Hayo Ya Viongozi Vijana Yataanza Tarehe 27 Marchi Hadi 07 April 2023, Kibaha Mkoani Pwani.

alternative alternative alternative alternative

Maoni & Mawasiliano

Unaweza kuwasiliana na CCM, kwa kutumia anuani hapo chini kwa Maswali yoyote na Maoni.
Chama Cha Mapinduzi, Kuu Street, P.O.Box 50, Dodoma-TZ.
Barua Pepe
Muda Wa Kazi
24/7
Anuani
P.O.Box 50