CCM - Chama Cha Mapinduzi
Muda Wa Kazi: 24/7

Habari na Matukio Mbalimbali


KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA MIWILI (2) YA UONGOZI WA AWAMU YA SITA, MACHI 19, 2023.

alternative

Baadhi ya Matukio kutoka uwanja wa Uhuru Dar Es Salaam leo Machi 19, 2023 ambapo kilele cha  Maadhimisho ya Miaka Miwili ya Uongozi wa Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan yanafanyika na kuhudhuriwa na viongozi wa Chama ngazi zote, asasi za kiraia na makundi mbalimbali ya wanawake nchini kote.

Rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM Taifa  ndiye Mgeni Rasmi wa Kilele cha Maadhimisho haya yaliyoandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT).

alternative alternative alternative alternative

Maoni & Mawasiliano

Unaweza kuwasiliana na CCM, kwa kutumia anuani hapo chini kwa Maswali yoyote na Maoni.
Chama Cha Mapinduzi, Kuu Street, P.O.Box 50, Dodoma-TZ.
Barua Pepe
Muda Wa Kazi
24/7
Anuani
P.O.Box 50