CCM - Chama Cha Mapinduzi
Muda Wa Kazi: 24/7

Habari na Matukio Mbalimbali


Kinana amekutana nakuzungumza  na Balozi wa Morocco Nchini Tanzania

alternative

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg.Abdulrahman Kinana amekutana nakuzungumza  na Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe.Zakaria El Goumiri katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

alternative alternative

Maoni & Mawasiliano

Unaweza kuwasiliana na CCM, kwa kutumia anuani hapo chini kwa Maswali yoyote na Maoni.
Chama Cha Mapinduzi, Kuu Street, P.O.Box 50, Dodoma-TZ.
Barua Pepe
Muda Wa Kazi
24/7
Anuani
P.O.Box 50